Menu

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo

Wednesday, July 30, 2014

NATAMBUA KWAMBA MIMI SI MTIMILIFU

(Baba Mungu mpendwa, natambua kwamba Mimi si mtimilifu lakini ninashukuru kwa kunipenda)

Mwambie Mungu asante kwa kila jambo ambalo amekufanyia onyesha upendo kwa Mungu maana yeye hutupenda zaidi na zaidi.Amina!

No comments:

Post a Comment