Menu

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo

Wednesday, July 16, 2014

USIKOSE KUANGALIA MAOMBI YA KULIOMBEA TAIFA(DODOMA) STAR TV 17-06-2014 SAA KUMI JIONI

Wapendwa nawasalimu katika Bwana.Usikose kuangalia maombi yanayo endele huko Dodoma kuliombea Taifa ambayo yatarushwa mojakwamoja hewani na kituo cha Star TV kesho kuanzia saa kumi jioni.

No comments:

Post a Comment