Zaburi 70:1-5
 Ee Mungu, uniokoe, Ee Bwana, unisaidie hima. 
2 Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu. 
3 Warudi nyuma, na iwe aibu yao, Wanaosema, Ewe! Ewe! 
4 Washangilie, wakufurahie, Wote wakutafutao. Waupendao wokovu wako Waseme daima, Atukuzwe Mungu. 
5 Nami ni maskini na mhitaji, Ee Mungu, unijilie kwa haraka. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Bwana, usikawie.
Maombi siku ya tarehe 22/03/2014 Arusha.
                      -
                    
Hivi ndivyo ilivyokuwa siku ya j'mosi ya tarehe 22/03/2014 katika viwanja 
vya Sheikh Amri Abeid Stadium Arusha kwa ajiri ya maombi maalum kwa wakina 
mama w...

No comments:
Post a Comment