Menu
▼
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo
▼
Kuna siri gani katika namba 3-?
Kuna siri gani ktk namba 3-?
Shetani alimjaribu YESU mara 3,
YESU alianguka na msalaba mara 3,
Petro alimkana Bw.YESU mara 3,
Jogoo aliwika mara 3, YESU alifufuka siku ya 3, Wanawake walienda kaburini siku ya 3 nao walikuwa 3.
Matanga huanuliwa siku ya 3.
Mafiga ya kupikia huwa 3. Mashindanoni namba za ushindi ni 3.
Nafsi za Mungu ni 3 Baba Mwana na Roho Mtakatifu. nini maana ya 3?