Menu

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo

Wednesday, July 9, 2014

TUMAINI JIPYA KWA YESU BWANA


Katika dhiki twaweza kuwa na amani tukiweka fikara zetu katika Yesu. Imeamdikwa, Isaya 26:3-4 "Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.
4 Mtumainini Bwana siku zote Maana Bwana YEHOVA ni

mwamba wa milele.

No comments:

Post a Comment