Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo
▼
Wednesday, July 9, 2014
MWINULIE BWANA SIFA
zaburi 66:1-4 Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote, 2 Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake. 3 Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.