Vichwa vya Habari

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI


    • KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

      Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654
    • 2. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI 2Petro 1:3-4
    • 3. 2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,nguvu zake za) uungu umetupatiamambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.
    • 4. 2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa mbaya.
    • 5. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA
    • 6. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
    • 7. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA1. KUMILIKI NA KUTAWALA2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA3. KUMSIFU NA KUMWABUDU
    • 8. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26,28 26 Tufanye mtu kwa sura yetu nakwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia.
    • 9. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
    • 10. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili heshima zote, kwa sababuulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kilalugha, kila jamaa na kila taifa. (yaani kanisa).
    • 11. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawawawe Ufalme na Makuhani wakumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’
    • 12. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ufunuo 5:8-10 Ufalme MakuhaniKutawala Ibada
    • 13. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha mamlaka ya Mungu duniani.
    • 14. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maishamazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.
    • 15. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata umemwangalia hivi?Umemfanya mdogo kidogo tu kuliko Mungu,
    • 16. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu naheshima, ukamtawaza juu yakazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini ya miguu yake…
    • 17. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All) = Mkuu = Mtawala “Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi = Mungu
    • 18. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 18 Na milango ya kuzimuhaitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
    • 19. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 Kwa maana nitawapafunguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni);
    • 20. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)
    • 21. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa wanadamu
    • 22. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maishamazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.
    • 23. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ili kumwezesha mwanadamukuitawala dunia pamoja na Mungu, Mungu alimuumbia mfumo wauungu katika utu wake wa ndani, ili atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu. (Mwanzo 1:26-28)
    • 24. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)
    • 25. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)
    • 26. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni,Malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …
    • 27. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “ambaye ni baba wa uongo, na mkiani mwake anakokota theluthi (1/3) ya nyota zambinguni (malaika wa Mungu) …
    • 28. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni,katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika zake aliowadanganya …”
    • 29. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, walamahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.
    • 30. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni,ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.
    • 31. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu yamwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao, ambaohawakupenda maisha yao hata kufa”.
    • 32. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyiwote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwamaana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua ana wakati mchache!
    • 33. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaendaafanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu nakuwa na ushuhuda wa Yesu …”
    • 34. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu (nguvu zagiza) haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga’
    • 35. VITA VYA ROHONI Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani, kwasababu, kuna vita naupinzani (mashindano), kati yashetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu).” (Mathayo 16:18)
    • 36. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kutawala Ni Mfano na Asili ya Baba yetu ‘Mfalme wa wafalme’
    • 37. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Ni Mfano/Asili ya Baba yetu Mwanzo 1:26,28 ‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawaledunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia’.
    • 38. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)
    • 39. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)
    • 40. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu,kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katikambingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada za malaika wa mbinguni.
    • 41. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndiomaana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa Mungu, yaani mimi na wewe
    • 42. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafutanamna ya kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugiaMungu ibada, anayoitamani sanakutoka duniani (kwa watoto wa Mungu).
    • 43. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingirayake, ili binadamu aweze kuishimaisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.
    • 44. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
    • 45. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, nakumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, (Mwanzo 1:26-28)
    • 46. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha yako (inayotoka duniani). (Yohana 4:23)
    • 47. VITA VYA ROHONI Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu Kristo).” (Mathayo 16:18-19)
    • 48. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI Yakobo 5:16-18
    • 49. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1817 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu yanchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).
    • 50. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1818 (baada ya miaka mitatu nanusu) Eliya akaomba tena kwabidii, ili mvua inyeshe, na mvua ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
    • 51. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-1816 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. (Hosea 4:6, Warumi 10:2)
    • 52. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano;Yesu na Petro kutembea juu ya maji. Mathayo 14:25-33
    • 53. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3325 Wakati wa zamu ya nne yausiku (ni kati ya saa 9 na saa 12 alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji (kinyume na kanuni za asili).
    • 54. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 26 Wanafunzi wakewalipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’ Wakapiga yowe kwa kuogopa.
    • 55. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3327 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipenimoyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.’’
    • 56. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’ Basi Petro akatoka kwenyenchombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
    • 57. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-3330 Lakini alipoona upepo mkalialiingiwa na hofu, naye akaanzakuzama, huku akipiga kelele,“Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesuakanyosha mkono Wake nakumshika, akamwambia, …
    • 58. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 31 … “Wewe mwenye imanihaba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo ukakoma.
    • 59. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 33 Ndipo wote waliokuwamo ndani ya kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema,“Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.’’
    • 60. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Makusudi ya Mungu ni sisikanisa lake, tukue kiroho na tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe Yohana 14:12
    • 61. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:12 “Amin, amin, nawaambia, kila mtu aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo, yeye nayeatazifanya, na hata kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.
    • 62. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1511 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa walimu,
    • 63. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1512 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa.
    • 64. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katikakumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho, hata kufikia cheo (level) yakipimo cha ukamilifu wa Kristo.
    • 65. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 14 Ili tusiwe tena watotowachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
    • 66. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-1515 Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa, yaani, Yesu Kristo.
    • 67. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano;Petro na Yohana kumponya kilema wa miaka 40. Matendo 3:1-10
    • 68. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 1. Siku moja Petro na Yohana walikuwawanapanda kwenda hekalunikusali yapata saa tisa alasiri.
    • 69. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-102 Basi palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango lahekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu wanaoingia hekaluni.
    • 70. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-103 Huyu mtu akiwaona Petro na Yohana wakikaribia kuingia hekaluni, aliwaomba wampe sadaka.
    • 71. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 4 Wakamkazia macho, kishaPetro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’5 Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
    • 72. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 6 Ndipo Petro akamwambia, ‘‘Sina fedha wala dhahabu,lakini kile nilicho nacho ndichonikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti simama, uende.’’
    • 73. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 7 Petro akamshika yule mtu kwa mkono wa kuumeakamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.
    • 74. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-108 Akaruka juu na kusimama, akaanza kutembea. Kishaakaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, hukuakitembea na kurukaruka na kumsifu Mungu.
    • 75. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-109 Watu wote walipomwona akitembea na kumsifu Mungu, 10 wakamtambuakuwa ni yule mtu aliyekuwaakiketi nje ya hekalu penye lango liitwalo Zuri …
    • 76. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-1010 … akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.
    • 77. Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU
    • 78. ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU AUNAMNA YA KUOMBA SAWA SAWA
    • 79. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
    • 80. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
    • 81. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
    • 82. NINI MAANA YA KUOMBA Kwasababu, Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24) Hii ina maana kwamba, Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
    • 83. NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu … Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’ (Waebrania 11:6) “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Munguyupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
    • 84. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,(katika ulimwengu wa roho)…
    • 85. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… ili kuongea na Mungu …
    • 86. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
    • 87. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … itasababisha na kuletamabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
    • 88. NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
    • 89. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 90. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 91. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 92. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 93. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 94. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 95. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 96. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 97. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 98. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 99. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 100. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 101. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 102. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 103. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 104. NAMNA YA KUOMBA Bwana Yesu anasema;“Ombeni nanyi mtapewa,Kwa maana kila aombaye Hupokea (hupewa) … (Mathayo 7:7-11)
    • 105. NAMNA YA KUOMBA Na wachache wanaoomba Biblia anasema;“Mnaomba na hata hampati,Kwasababu mnaomba vibaya” (Yakobo 4:3)
    • 106. NAMNA YA KUOMBABwana Yesu anasema; “Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)
    • 107. NGUVU YA MAOMBI NAMNA YAKUOMBA KWA USAHIHI HATA KULETAMABADILIKO DUNIANI.
    • 108. NAMNA YA KUOMBAMambo Muhimu yaKufahamu, ili kujua; NAMNA YAKUOMBA IPASAVYO
    • 109. NAMNA YA KUOMBA Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua; NAMNA YAKUOMBA KWA UFANISI
    • 110. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
    • 111. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
    • 112. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
    • 113. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
    • 114. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni
    • 115. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
    • 116. NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo Hebu tujifunze sasa; 1. KUUFAHAMUULIMWENGU WA ROHO.
    • 117. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
    • 118. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,(katika ulimwengu wa roho)…
    • 119. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… ili kuongea na Mungu …
    • 120. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
    • 121. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … itasababisha na kuletamabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
    • 122. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Hudumanzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
    • 123. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katikakatika Ulimwengu wa roho ...
    • 124. NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho ni nini?
    • 125. KANUNI ZA KIROHO Kwa Mfano;Uumbaji wa vitu vya Dunia Mwanzo 1:1-5, 14-19
    • 126. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-191 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi; 2 na Duniailikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alitanda juu ya maji.
    • 127. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-193 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4 Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema,ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza.
    • 128. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-195 Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
    • 129. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 14 Mungu akasema, “Iwepomianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe mchana na usiku,nayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali, siku na miaka,
    • 130. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo.16 Mungu akafanya mianga miwili mikubwa …
    • 131. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-1916 … Mwanga mkubwa utawalemchana (Jua) na mwanga mdogo utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za mbinguni.
    • 132. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-1917 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangazedunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.
    • 133. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi,kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua namwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!
    • 134. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.
    • 135. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
    • 136. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangazaduniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika ulimwengu wa roho.
    • 137. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Chanzo cha Nuru cha rohoni,kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru chakimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
    • 138. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Hii ina maana kwamba;Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.
    • 139. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Hii ina maana kwamba;Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.
    • 140. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Chanzo cha Nuru cha rohoni,kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru chakimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
    • 141. KANUNI ZA KIROHO Yohana 5:12 12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni Nuru yaulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
    • 142. KANUNI ZA KIROHO Yohana 3:16-2019 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu.
    • 143. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
    • 144. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4“Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.
    • 145. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Mkate Afya
    • 146. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 Hii pia ina maana kwamba,Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
    • 147. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 Hii pia ina maana kwamba,Afya ya mtu haitoki katika Dawa anazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
    • 148. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Dawa Afya
    • 149. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Nyumba Ulinzi
    • 150. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Kitanda Usingizi
    • 151. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Kitabu Akili
    • 152. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Pete Upendo
    • 153. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Cheti Kazi
    • 154. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Ajira Mafanikio
    • 155. KANUNI ZA KIROHO Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko kanuni hizi za kimwili, na ndizozinazotawala ulimwengu huu wa kimwili na kanuni zake.
    • 156. ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kirohokatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.
    • 157. KANUNI ZA KIROHO Kwa lugha rahisi; Waebrania 11:3 “Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyodhahiri (au vitu visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”
    • 158. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,Vitu vinavyoonekana,vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;
    • 159. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa na mambo ya ulimwengu wa roho;
    • 160. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,Kanuni za kimwili (NaturalPrinciples) zinatawaliwa naKanuni za Kiroho (Spiritual Principles).
    • 161. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 “Mtu hataishi kwa mkate tu,bali kwa kila Neno litokalo kwa Bwana”.
    • 162. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4Neno Mkate Afya
    • 163. KANUNI ZA KIROHO Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko kanuni hizi za kimwili, na ndizozinazotawala ulimwengu huu wa kimwili na kanuni zake.
    • 164. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo,Kanuni za kimwili (NaturalPrinciples) zinatawaliwa naKanuni za Kiroho (Spiritual Principles).
    • 165. KANUNI ZA KIROHO 2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vituvinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
    • 166. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vituvisivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa; Ni vitu vilivyopo kabisa ila hatuvioni tu.
    • 167. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwenguuliumbwa kwa Neno la Mungu, navitu vinavyoonekana (vya kimwili) havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’
    • 168. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3‘… ulimwengu uliumbwa kwa Nenola Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)’ - (vitu vya kiroho) -
    • 169. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wKatika ulimwengu wetu, kunavitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana na • Vitu vinavyoonekana
    • 170. NGUVU YA MAOMBI ULIMWENGU WA ROHO Ulimwengu w Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo vilivyosababisha vituvinavyoonekana (vya ulimwenguwa mwili) kutokea na kuumbika. (Waebrania 11:3)
    • 171. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3‘… ulimwengu uliumbwa kwa Nenola Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)’ - (vitu vya kiroho) -
    • 172. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
    • 173. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wKatika ulimwengu wetu, kunavitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)
    • 174. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wKatika ulimwengu wetu, kunavitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu vinavyoonekana (Vitu vya Kimwili)
    • 175. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wKatika ulimwengu wetu, kunavitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana Na vyote viko kwa pamoja
    • 176. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho niulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakinihatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili). (2 Wakorintho 4:18)
    • 177. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pandembili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una pande mbili.
    • 178. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) naupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja! (2Wakorintho 4:18)
    • 179. Ulimwengu wa Roho Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)
    • 180. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wakiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
    • 181. NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3 Kwahiyo, kila kitu duniani kinaoriginal copy na photocopy yake.Au kila kitu unachokiona duniani,ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
    • 182. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kila cha Kimwili,kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
    • 183. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili,Basi na mwili wa roho pia, upo”
    • 184. NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho Kwa MfanoUumbaji wa Dunia Waebrania 11:3
    • 185. Ulimwengu wa roho NeemaUumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
    • 186. Ulimwengu wa roho NeemaUumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa DhikiUlimwengu wa Mwili Torati na Manabii Kuzaliwa InjiliBahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa
    • 187. Ulimwengu wa roho NeemaUumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½ 600 Injili Kanisa DhikiUlimwengu wa Roho 700 2000Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
    • 188. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,aliiumba kwanza katika ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
    • 189. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo Kila cha Kimwili,kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
    • 190. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili,Basi na mwili wa roho pia, upo”
    • 191. NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3 Kwahiyo, kila kitu duniani kinaoriginal copy na photocopy yake.Au kila kitu unachokiona duniani,ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
    • 192. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ayubu 8:9 “Kwakuwa sisi ni wa jana tu,wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli” - Photocopy -
    • 193. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko kama kivuli” - Photocopy -
    • 194. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambohilo limejitokeza, lakini mbegu yakeilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
    • 195. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
    • 196. NGUVU YA MAOMBIKwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 197. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 198. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 199. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizurimambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamuvizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
    • 200. NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho Kwa MfanoMaombi ya Nabii Eliya Yakobo 5:17-18;
    • 201. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi,lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki- mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.
    • 202. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua)kanuni zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha.
    • 203. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18;Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.
    • 204. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungualimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na nchi ikazaa matunda yake.
    • 205. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya 1Wafalme 18:41-44; Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41) Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, balirohoni, kwasababu ni Eliya peke yake aliyeisikia, na kutoa tangazo.
    • 206. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24) Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili
    • 207. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi
    • 208. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
    • 209. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18;Japo hakukuwa na kanuni zozote za kisayansi za kuruhusu mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia yamaombi, alikwenda rohoni, akaathirikanuni zinazosababisha mvua mwili, na ndio maana mvua ikanyesha.
    • 210. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi / / / / / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / / Uyahudi Uyahudi Uyahudi
    • 211. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambohilo limejitokeza, lakini mbegu yakeilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
    • 212. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 213. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
    • 214. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 215. NGUVU YA MAOMBIKwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 216. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 217. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 218. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizurimambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamuvizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
    • 219. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wKatika ulimwengu wetu, kunavitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana na • Vitu vinavyoonekana
    • 220. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Yaani kuna upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) naupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja! (2Wakorintho 4:18)
    • 221. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ni kama vile karatasi, ina upande wa mbele na ina upande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kinaupande wa mbele na wa nyuma.
    • 222. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ni kama vile mkono wako (kiganja cha mkono) kinaupande wa mbele na wa nyuma.Lakini ni mkono mmoja, ila unaapnde mbili. Basi ni vivyo hivyo na dunia yetu.
    • 223. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoDunia hii hii moja, ina upande wavitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyoteviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
    • 224. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1. Kwa Mfano waNabii Elisha na Gehazi. 2 Wafalme 6:8-17
    • 225. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17Elisha, alipokuwa amezungukwa na maadui, Gehazi alipatwa na hofu na woga, kwasababu hakujua kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka. Ni kwasababu pale pale, ila ni katika upande usioonekana (rohoni).
    • 226. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke, ndipoGehazi akawaona malaika wengi wa mbinguni waliowazungukapande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa pili wa dunia (rohoni).
    • 227. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17 Malaika wanaoneka hapa,hawakuja baada ya Elisha kufanyamaombi, bali walikuwepo siku zotepamoja nao, ila huwa wapo katikaulimwengu wa roho ambao macho yetu hayajaruhusiwa kuuona.
    • 228. Ulimwengu wa Roho 2 Wafalme 6:8-17 Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa mbinguni, japo walikuwepo hapopamoja nao, siku zote, ila ni katikaulimwengu wa roho ambao macho yetu hayajaruhusiwa kuuona.
    • 229. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoDunia hii hii moja, ina upande wavitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyoteviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
    • 230. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2. Kwa Mfano waNabii Eliya na Elisha. 2 Wafalme 2:7-15
    • 231. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15Kama Eliya angetoweka ghafla mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu nakupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.
    • 232. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15 Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo yarohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; baliangeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.
    • 233. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15 Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona mwanzo na mwisho wakuondoka kwa Eliya; kwasababu anaruhusiwa (anawezeshwa) kuchungulia rohoni.
    • 234. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoDunia hii hii moja, ina upande wavitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyoteviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
    • 235. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 3. Kwa Mfano waBwana Yesu na Wanafunzi Wawili wa Emmaus. Luka 24:13-52
    • 236. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa)kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, baliwangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu, mbele ya macho yao.
    • 237. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52 Kwasababu kutoweka ghafla kwaBwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wamwili, na kupenya (kuingia) katikaulimwengu wa roho ambao macho yetu hayauoni tu.
    • 238. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa (hawakuwezeshwa) kuchunguliarohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu.Katika macho yao Yesu alitoweka.
    • 239. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoDunia hii hii moja, ina upande wavitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyoteviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
    • 240. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 4. Kwa Mfano wa Bwana Yesu na WanafunziWaliomwona akipaa Mbinguni. Matendo 1:9-11
    • 241. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa wanafunzi wa Yesu,waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzokuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).
    • 242. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni, hivyo katika kutazama kwao, Bwana Yesu hakutoweka ghafla katika machoyao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.
    • 243. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si mwanafunzi wa Yesu, yamkiniasingeona kuondoka kwa Bwana Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.
    • 244. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi), hajapewa ruhusa (hajawezeshwa)kuona mambo ya ulimwengu wa roho;huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.
    • 245. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,aliiumba kwanza katika ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
    • 246. Ulimwengu wa Roho Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu wa roho. Waebrania 11:3
    • 247. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoDunia hii hii moja, ina upande wavitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyoteviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
    • 248. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kila cha Kimwili,kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
    • 249. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili,Basi na mwili wa roho pia, upo”
    • 250. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
    • 251. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho ndiounaotawala ulimwengu wa mwili. Kwahiyo Hakuna kitu kinafanyka katika mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho. Waebrania 11:3
    • 252. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambohilo limejitokeza, lakini mbegu yakeilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
    • 253. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizurimambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamuvizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
    • 254. NGUVU YA MAOMBIKwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 255. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30‘Mungu ameshatubariki kwa barakazote za rohoni, katika ulimwengu wa roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu’.
    • 256. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi
    • 257. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
    • 258. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Munguwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.
    • 259. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha yashida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
    • 260. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 261. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwenguwa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa shida na taabu nyingi.
    • 262. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida nataabu nyingi, na kumbe kule rohoni tuna baraka zetu nyingi sana kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
    • 263. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrani 11:3; Waefeso 1:3-4, Ni kwasababu; watu wa Mungu,(1) Hatujajua siri ya ulimwengu waroho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadilikotunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
    • 264. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Isaya 59:16, Mathayo 26:40-41 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua nakutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
    • 265. NGUVU YA MAOMBI Hosea 4:6, Warumi 10:2Ni kwasababu; watu wa Mungu,(3) Hatuna maarifa na bidii ya kutumia kanuni za kiroho, kwa namna sahihi, katika madhabahu ya Bwana (ulimwengu wa kiroho).
    • 266. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 267. NGUVU YA MAOMBIKwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndiounaotawala ulimwengu wa mwili;Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 268. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 269. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 270. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo basi, Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Munguwake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.
    • 271. NAMNA YA KUOMBA Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua; NAMNA YAKUOMBA KWA UFANISI
    • 272. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
    • 273. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho2. Namna ya kwenda rohoni
    • 274. NAMNA YA KUOMBA 2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.Namna ya kuingia rohoni.
    • 275. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katikanamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
    • 276. NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu … Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’ (Waebrania 11:6) “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Munguyupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
    • 277. NINI MAANA YA KUOMBA Mungu yuko wapi?
    • 278. NAMNA YA KUOMBA Kwasababu, Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)Hii ina maana kwamba,Mungu anaishi katikaulimwengu wa roho.
    • 279. NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,(katika ulimwengu wa roho)…
    • 280. NAMNA YA KUOMBA Ndio maana Biblia inasema; “Kila mtu amwendeaye Mungu,inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao” (Waebrania 11:6)
    • 281. MUNGU YUKO WAPI?MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua (kujidhihirisha) kwake’ Yohana 14:21,23
    • 282. MUNGU YUKO WAPI? “Ndani yake”maana yake nini?
    • 283. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUSehemu Kuu za Mwanadamu Roho Roho Nafsi Mwili
    • 284. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwanadamu ni 1. Mwili, 2. Nafsi, na 3. Roho.
    • 285. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, Roho
    • 286. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 287. SEHEMU KUU ZA MWANADAMUMwa 2:7NyamaDamu Nafsi Mwili RohoMifupa Mwanadamu
    • 288. SEHEMU KUU ZA MWANADAMUMwa 2:7 Mtu Fikra Hisia NAFSI ROHOMaamuzi
    • 289. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 290. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
    • 291. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Uwezo wa ki-Mungu katika roho yako.
    • 292. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Yohana 14:23, 21MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu. (rohoni)
    • 293. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua Asili ya roho yako (Wewe)
    • 294. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kuitambua asili ya Mungu iliyopo “Ndani yako”
    • 295. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu RohoMtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).
    • 296. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU “Ndani yetu” maana yake nini?
    • 297. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 2:7, inasema‘Bwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.
    • 298. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 2:7, inasema Mwili Nafsi Roho
    • 299. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, from Mwanzo 2:7 Mwanadamu ni 1. Mwili 2. Nafsi 3. Roho
    • 300. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwa uhalisi kabisa, iko hivi; Roho Nafsi Mwili
    • 301. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
    • 302. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 303. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 304. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za ki-Mungu.Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na mfano wa Mungu.
    • 305. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu ndiye asili yetu (sisi roho)
    • 306. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, roho yako (wewe)unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
    • 307. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo; Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
    • 308. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 309. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
    • 310. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
    • 311. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 33 Wayahudi wakamjibu,“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
    • 312. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu limewajia …
    • 313. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 36 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’
    • 314. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu mdogo duniani). (Zaburi 82:6)
    • 315. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”
    • 316. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:11 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yasiyoonekana.
    • 317. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1Kwahiyo, hata kama huoni kwamacho au hujashika kwa mikono,lakini amini tu kwamba, wewe ni Mungu mdogo duniani. Kwasababu ‘Hatuenendi kwakuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’
    • 318. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Na huko kuamini hivyo, ndikokunakofungulia Nguvu za Mungu, za kuushinda ulimwengu. Imani hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ nguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).
    • 319. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
    • 320. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu RohoMtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).
    • 321. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwambaroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake,kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;
    • 322. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.
    • 323. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; naweutaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
    • 324. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku nahuku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
    • 325. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.
    • 326. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Biblia inasemakwamba, unatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Kristo Yesu. Waefeso 4:11-14
    • 327. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako,zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwa ushindi na kwa mafanikio, kamaBwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au kuzuiliwa na hali yoyote.
    • 328. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Uwezo wa ki-Mungu katika roho yako.
    • 329. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:23, 21‘Mtu akinipenda, mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake, nakujidhihirisha (kujifunua) kwake’.MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
    • 330. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWewe una asili ya Mungu UTUKUFU Mwili Nafsi Roho
    • 331. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWewe una asili ya Mungu UTUKUFUKuona Kuelewa Kujua(See) (Understand) (Knowing)
    • 332. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 333. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayoweza kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za kimwili/kidunia. (Physical Principles)
    • 334. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za ki-Mungu.Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na mfano wa Mungu.
    • 335. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 336. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu ndiye asili yetu (sisi roho).
    • 337. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina maana kwamba, ndani yakokuna uwezo wa ki-Mungu, yaani tabia za Kiungu; (Nguvu za Mungu) 2Petro 1:3-4
    • 338. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU2Petro 1:3-4 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 339. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3-4‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani, ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za uungu.’
    • 340. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
    • 341. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
    • 342. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala ulimwengu wa roho na mwili.
    • 343. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili wake ukidhoofishwa, basi rohoitaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3-4).
    • 344. Uwezo wa roho ya MtuRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; Kwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo, bila kuelezwa au kuona.
    • 345. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 1: Tajiri na Lazaro Luka 16:19-31
    • 346. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali: Tajiri na Lazaro wamekufa,hivyo, wako nje ya miili yao.Kule kuzimu, tajiri alamwonaLazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
    • 347. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali:Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje kwamba, yule palealiyempakata Lazaro ndiye BabaIbrahimu aliyeishi zamani sana?
    • 348. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Jibu:Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
    • 349. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 2: Yesu, Musa na Eliya;Petro, Yakobo na Yohana;wakiwa katika maombi ya Mlimani. Mathayo 17:1-9
    • 350. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokeapamoja na Yesu, na Petro anakirikwa Bwana Yesu, kuwatambua.
    • 351. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Swali:Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
    • 352. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Jibu: Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwarohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
    • 353. Uwezo wa roho ya Mtu Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 354. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 355. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
    • 356. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho ya mwanadamu (wewe),ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki-Mungu iliyonayo.
    • 357. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembeakatika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila kuzuiliwa na chochote.
    • 358. Uwezo wa roho ya Mtu *** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF) nguvu za Mungu na kuathiri mazingira yako, vizuri au vibaya;Inategemea tu, nafsi imeegemea upande upi, rohoni au mwilini.
    • 359. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
    • 360. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
    • 361. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 3:Miujiza iliyofanywa na Wanafunzi wa Yesu.(Matendo 5:12/19:11)
    • 362. Uwezo wa roho ya Mtu Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa nanguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
    • 363. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi rohoitaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo.
    • 364. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
    • 365. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwilikudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki- Mungu iliyonayo.
    • 366. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembeakatika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila kuzuiliwa na chochote.
    • 367. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yakoyananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na kutawala mazingira ya kimwili.
    • 368. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
    • 369. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mfano; Gideon na Malaika wa Mungu Waamuzi 6:1-16‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
    • 370. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUGideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona nakujiwazia; na hali hiyo ndiyoiliyozima uwezo na nguvu za Mungu ndani yake.
    • 371. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye alivyojiona; na ndio maanaalimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona MTUMWA.
    • 372. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu akapuuza malalamiko ya Gideoni, nakumwambia, “(usitegemee kwamba nitakupa chochote, kwasababu ulichonacho, kinakutosha sana, ilaumekizima mwenyewe, kwa jinsi tu unavyojiona na kujiwazia.
    • 373. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kisha Malaika wa Mungu akamwambia Gideoni kwamba, “(ukibadilisha ujavyojiona nakujiwazia, kutoka mtumwa kwendashujaa, nguvu za Mungu ndani yako zitaingia kazini) basi enenda katika nguvu zako (hizo), ukawapige wamidiani.”
    • 374. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUGideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwandani yake ziliingia kazini (ON).
    • 375. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao(wamidian) kwa nguvu za Mungu,ambazo zilikuwepo siku zote ndaniyao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona na kujiwazia (kitumwa).
    • 376. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao(wamidian) kwa nguvu za Mungu,na si kwa sababu nyingine yoyote ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael Wamidian 100 : 1 Waisrael
    • 377. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
    • 378. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yakoyananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na kutawala mazingira ya kimwili.
    • 379. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua Mawazo ya Ushindi Warumi 12:2,‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’
    • 380. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23,21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa, kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’
    • 381. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23,24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
    • 382. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12,Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiyealiyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanyamambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya Bwana Yesu!
    • 383. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12,Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifuwa Mungu, halafu ukabaki kuwa binadamu wa kawaida. ‘Ordinary human being’ ‘Natural human being’
    • 384. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12, Roho Mtakatifu wa Mungu,anataka kufanya uwe binadamu asiye wa kawaida (wa ajabu). ‘Extra -Ordinary human being’ ‘Super-Natural human being’
    • 385. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:12/16:7-8 ‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo,(miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba kuwaletea, Roho yule yulealiyeniwezesha mimi kufanya haya.
    • 386. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na si Yesu peke yake, hatabinadamu wengine wa kawaida,waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio duniani, bila kuzuilika. Yohana 14:12/16:7-8
    • 387. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2wakapita katika nchi kavu, katikati yaghorofa mbili za maji kitu ambacho nikinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili (archmedis priciple). Kutoka 14:1-31 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 388. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Joshua aliwezakusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Joshua 10:12-15 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 389. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japokulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 390. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNa ndio maana pia aliweza kurudishamvua juu ya nchi, japo hakukuwa na kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 391. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNdio maana Petro aliweza kumponyakilema katika mlango wa hekalu, bilaoperation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 3:1-16 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 392. Uwezo wa roho ya Mtu Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa nanguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
    • 393. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 8:26-40 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 394. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHii inaonyesha wazi kwamba;Roho yako ndiyo iliyo na uwezowa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ina uwezo wa kutawala ulimwengu wa roho na mwili.
    • 395. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 396. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
    • 397. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwamba Roho wa Mungu yuko ndani yako, na hivyo, roho yako ndiyoinayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;
    • 398. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina yaupinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.
    • 399. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKutokujua ukweli huu, kutazuia nakutazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; naweutaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
    • 400. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Munguwengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).
    • 401. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNa matokeo yake ni kwamba, watuwa Mungu wengi wanahangaika na kutumia muda mwingi na gharamakubwa, kukimbia-kimbia kushoto na kulia, kutafuta msaada wa mbali, wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; yaani nguvu za Mungu nyingi, zimebaki zimelala ndani yao, bila kutumika.
    • 402. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMawazo yana nguvu ya kuathirimaisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongeavibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21
    • 403. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 ‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.’
    • 404. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba. Ulimwengu uliumbwa kwa NENO la Mungu. Yohana 1:1-4 Ebrania 11:3/4:12
    • 405. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana nauwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Neno Waebrania 4:12
    • 406. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waebrania 4:12 “Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
    • 407. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’
    • 408. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Wakorintho 3:6“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”
    • 409. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno Waebrania 4:12
    • 410. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho na kubadilisha mwenendo.
    • 411. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu
    • 412. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,Roho wa Mungu huja kulivuvia ilikusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno maishani mwako.
    • 413. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia neno baya kutokandani yako kwa imani, basi roho mbaya huja kulivuvia ilikusababisha uhai na uumbaji wahilo neno hilo maishani mwako.
    • 414. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.
    • 415. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 6:2Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya kinywa chako.
    • 416. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Wakolosai 3:16 Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.
    • 417. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waefeso 4:29 Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo jema, la kumfaa msikiaji.
    • 418. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Maneno ya nguvu za kuumba. Yohana 1:1-4 Ebrania 11:3/4:12
    • 419. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Maneno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.
    • 420. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa ImaniMawazo Mtazamo Maneno
    • 421. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
    • 422. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi. a) Macho ya rohoni b) Mawazo ya ushindi c) Maneno ya Ushindi
    • 423. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.
    • 424. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na (3)nguvu zilizo ndani yetu.
    • 425. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 10. Kutembea kwa Imani Mtazamo
    • 426. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’ (Rum 12:2, Efe 4:20-24)
    • 427. Kutembea na nguvu za MunguMawazo Mtazamo
    • 428. Kutembea na nguvu za Mungu Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.
    • 429. Kutembea na nguvu za Mungu(c) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2
    • 430. Kutembea na nguvu za Mungu Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.
    • 431. Kutembea na nguvu za MunguMawazo Mtazamo Maneno
    • 432. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua Mawazo ya Ushindi Mith 23:7
    • 433. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Yohana 14:23, 21MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu. (rohoni)
    • 434. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi, atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu wa mwili.
    • 435. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFUMwenendo Fikra Hisia
    • 436. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona - Kuelewa - Kujua
    • 437. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUMwili Nafsi RohoKuona Kuelewa Kujua(See) (Understand) (Know)
    • 438. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasababu imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
    • 439. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 440. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 441. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za ki-Mungu.Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na mfano wa Mungu.
    • 442. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu ndiye asili yetu (sisi roho).
    • 443. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, roho yako (wewe)unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
    • 444. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
    • 445. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
    • 446. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
    • 447. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
    • 448. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 33 Wayahudi wakamjibu,“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
    • 449. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu limewajia …
    • 450. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita Mungu? Sasa, mnawezajekusema kwamba, ninakufuru etikwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu?’
    • 451. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
    • 452. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
    • 453. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwilikudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila kuelezwa au kuona.
    • 454. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 1: Yesu, Musa na Eliya;Petro, Yakobo na Yohana;wakiwa katika maombi ya Mlimani. Mathayo 17:1-9
    • 455. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokeapamoja na Yesu, na Petro anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.
    • 456. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Swali:Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
    • 457. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Jibu: Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwarohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
    • 458. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 459. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 460. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
    • 461. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUMwili Nafsi RohoKuona Kuelewa Kujua(See) (Understand) (Know)
    • 462. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwilikudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki- Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.
    • 463. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kuweka nafsi (fikra, hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembeakatika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwausahihi kabisa, bila kubahatisha.
    • 464. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 2: Tajiri na Lazaro Luka 16:19-31
    • 465. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali: Tajiri na Lazaro wamekufa,hivyo, wako nje ya miili yao.Kule kuzimu, tajiri alamwonaLazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
    • 466. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali:Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje kwamba, yule palealiyempakata Lazaro ndiye BabaIbrahimu aliyeishi zamani sana?
    • 467. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Jibu:Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
    • 468. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
    • 469. Mungu Ndiye Asili Yetu.Mwa 2:7 MunguDunia Mwili Nafsi Roho
    • 470. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 471. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
    • 472. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
    • 473. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwilikudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki- Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.
    • 474. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungutukifanikiwa kuweka nafsi (fikra, hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembeakatika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwausahihi kabisa, bila kubahatisha.
    • 475. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
    • 476. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, RohoUlimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
    • 477. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGURoho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
    • 478. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUKwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko ndani yetu (rohoni).
    • 479. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUKwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni, kukutana na Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia zifuatazo;
    • 480. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;
    • 481. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni; 1. Kwa njia ya Maombi
    • 482. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni; 1. Kwa njia ya Maombi 2. Kwa njia ya Ibada
    • 483. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni; 1. Kwa njia ya Maombi 2. Kwa njia ya Ibada 3. Kwa njia ya Ndoto
    • 484. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni; 1. Kwa njia ya Maombi 2. Kwa njia ya Ibada 3. Kwa njia ya Ndoto 4. Kwa njia ya Maono
    • 485. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni; 1. Kwa njia ya Maombi 2. Kwa njia ya Ibada 3. Kwa njia ya Ndoto 4. Kwa njia ya Maono
    • 486. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 1. Kwa njia ya Maombi “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwambaMungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao” (Waebrania 11:6)
    • 487. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika,maombi, huwa anahamisha fikra zake na hisia zake, kutoka katika mwili(ambako ndiko ameishi zaidi ktk sikunzima) na kuziweka katika roho yake, mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.
    • 488. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
    • 489. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 2. Kwa njia ya Ibada “Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)
    • 490. MUNGU ANAKAA WAPI?Mungu anaishi ndani yetu!Au hamjui ya kuwa miili yenu nihekalu la Roho Mtakatifu, nakwamba Mungu anaishi ndaniyenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)
    • 491. Wewe ni HEKALU la Mungu Patakatifu pa Patakatifu Patakatifu Uwanda Uwanda wa Nje
    • 492. Wewe ni HEKALU la Mungu Mwili Nafsi Roho Nje
    • 493. Wewe ni HEKALU la Mungu Mwili Nafsi Roho Nje Ptf
    • 494. Wewe ni HEKALU la Mungu Mwili Nafsi Roho Nje Ptf PPP
    • 495. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUWewe ni HEKALU la Mungu UTUKUFU Nje Ptf PPP
    • 496. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUWewe ni HEKALU la Mungu UTUKUFU Nje Fikra Hisia
    • 497. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe ni HEKALU la Mungu Ukitaka kukutana na Mungu(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza rohoni mwako.
    • 498. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUWewe ni HEKALU la Mungu UTUKUFUMwenendo Fikra Hisia
    • 499. NAMNA YA KUINGIA ROHONI Ni muhimu tujue kwamba; “Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, nakukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”
    • 500. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi, utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu wa mwili
    • 501. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUWewe ni HEKALU la Mungu UTUKUFUMwenendo Fikra Hisia
    • 502. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 2. Kwa njia ya Ibada Kwa njia ya ibada, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambaohauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.
    • 503. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya Maombi
    • 504. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
    • 505. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto
    • 506. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya Ndoto Kwa kuwa ndoto si kitu mtuanaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kituambacho utasubiri kikutokee. (Mungu akupe mwenyewe)
    • 507. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini, mwili wake huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho.
    • 508. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, japo mtu amelala usingizi (mwilini), lakini roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.
    • 509. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu waroho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.
    • 510. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya Ndoto Mathayo 1:20-25 20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,“usiogope kumchukua Maria awe mkewako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.
    • 511. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya Ndoto 21 “Naye atamzaa mwana , naweutamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.” (Mathayo 1:20-25)
    • 512. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akamchukua Maria kuwa mke wake.25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu. (Mathayo 1:20-25)
    • 513. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulalana ukaota ndoto, roho yako huwainakwenda katika ulimwengu wa roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo mengi, huko rohoni.
    • 514. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisikabisa, huwa ina maana kwamba,umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.
    • 515. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambaohauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
    • 516. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya Maombi
    • 517. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
    • 518. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto
    • 519. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Namna ya kwenda rohoni;Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
    • 520. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu mtu anaweza kupanga, basi hawezi piakuki-control. Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)
    • 521. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni taswira au maono ambayo mtu anayapata akiwa hajasinzia (hajalala). Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea, amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.
    • 522. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya Maono (Ufunuo 1:9-10)9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwachoPatmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Bwana Yesu.
    • 523. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya Maono 10 Nilikuwa katika roho siku ya Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yoteunayoyaona, kisha uyapeleke kwamakanisa saba nitakayokuambia.
    • 524. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya Maono Ufunuo 20:11-15‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa wafu wake;wote, wakasimamishwa mbele zakiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’
    • 525. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya Maono Ufunuo 20:11-15 ‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana ameandikwa katika kitabu chauzima, alitupwa katika lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’
    • 526. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU 4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambaohauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
    • 527. KUONGOZWA NA ROHOKUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA ROHO MTAKATIFU
    • 528. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 1. Maisha ya Utakatifu(Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18) (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)
    • 529. VITA YA MWILI NA ROHO(Utukufu) Uhusiano MunguMwili RohoDunia NafsiShetani
    • 530. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 2. Kusifu na Kuabudu(Yoh 4:23-24, Zab 22:3) (2Nyak 5:13-14)
    • 531. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 3. Kusoma Neno kwa Bidii(Waebr 4:12, Wakol 3:16-17) (2Tim 3:16-17)
    • 532. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17) (Luka 6:12/18:1)
    • 533. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 5. Kukusanyika katika Ibada(Math 18:19-20, Waebr 10:25)
    • 534. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; 6. Kuenenda kiroho (Katika Roho)Wagal 5:16-25, Warum 8:5-12 1Wakor 1:1-9
    • 535. KIROHO NA KIMWILI Rohoni MwiliniTabia za rohoni Tabia za mwiliniUpendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo,Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, UleviUtoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.
    • 536. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;7. Kutembea katika kiwango Waebrania 5:11-14 Wagalatia 4:1 Mathayo 17:1-9
    • 537. KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge) (1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)
    • 538. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kujaa Nguvu za Mungu Kiwango, Kipimo, Ujazo
    • 539. KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri; 7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)
    • 540. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KUJAZWA ROHO Mt. Mungu wetu ni Mungu waviwango maalum, hafanyi kazi katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazikatika viwango vyake maalum.
    • 541. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Musa na Wazee 70 wa Israeli. Kutoka 24:1-18
    • 542. 7. Ngazi (Level) ya Wito Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class ^^^ 2nd Class^^^^^^^^^^ 3rd Class
    • 543. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Wanafunzi wa Yesu. Luka 6:13-16
    • 544. NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU 1 (Yoh 21:19-24) 3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)2 70 (Luka 10:1,17) 3 120 (Mdo 1:15) 500 (1Kor 15:3-8)
    • 545. KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU NGAZI YA IMANI Luka 6:13-16 Usiridhike kuwa mwanafunzi waYesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya Mungu
    • 546. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3)3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)
    • 547. KUONGOZWA NA ROHOVIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
    • 548. VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili).7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.
    • 549. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
    • 550. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
    • 551. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni
    • 552. NAMNA YA KUOMBA3. MAMLAKA YA ROHONI Nafasi yako katika Ulimwengu wa roho
    • 553. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita VyetuTumeshajifunza kwamba Ulimwenguwa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.
    • 554. MAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal” Mkuu MUNGU Mfalme ADAM Mtawala MALAIKA Mwakilishi mungu DUNIA SHETANI Zab 8:4-8
    • 555. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita VyetuShetani akiijua siri hii, na akitakakuwa mungu wa dunia, aliatafuta kwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni); na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho.
    • 556. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita Vyetu Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho, akawekeza majeshi yakeyote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa mwili na kuwa mkuu wa dunia hii.
    • 557. MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI Mkuu MUNGU Mfalme ADAM Mtawala MALAIKA Mwakilishi mungu DUNIA Zaburi 8:4-8 SHETANI “Juu ya” = “Mashal”
    • 558. MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI MUNGU SHETANI MALAIKA DUNIA SHETANI ALITAPELI ADAM NAFASI YA ADAM
    • 559. MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI Mkuu Yohana 16:11 MUNGU Mfalme Waefeso 2:1-2 SHETANI Mtawala 1Yohana 5:19 MALAIKA Mwakilishi Luka 4:5-8 mungu 2Korintho 4:3-4 DUNIA Warumi 5:12, 14 ADAM Waebrania 2:14, 15
    • 560. Mamlaka ya shetani ulimwenguniEfe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
    • 561. Mamlaka ya shetani ulimwenguni Warumi 5:14 Kwahiyo, mauti ikatawala(shetani) tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Musa; mautiiliwatawala watu wote hata wale ambao hawakuvunja amri kama alivyofanya Adamu
    • 562. BAADA YA WOKOVU Walosai 2:13-15 Kwa njia ya msalaba na damu yake, Bwana Yesu alifuta kabisadeni la dhambi (hati ya mashitaka)juu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya aidu hadharani.
    • 563. BAADA YA WOKOVU Walosai 2:13-15/1:13Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu, ufalme wa shetani duniani, ulipinduliwa na mabadiliko ya kimamlaka yalitokea katika Ulimwengu wa roho; Ufunuo 11:15
    • 564. BAADA YA WOKOVU Walosai 1:13‘Naye Mungu, alituokoa kutoka katika nguvu za giza na kutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanaye mpendwa, Yesu Kristo.’
    • 565. BAADA YA WOKOVU Waefeso 2:6/1:20-23 Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye, katikaUlimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juusana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.
    • 566. MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA WOKOVU MkuuMUNGU + ADAM 2 Mfalme MALAIKA Mtawala SHETANI Mwakilishi mungu DUNIA Waefeso 2:6 ADAM 1 Waefeso 1:18-23
    • 567. BAADA YA WOKOVU Ufunuo 11:15 Kisha, malaika wa saba akapiga tarumbeta, na jeshi lote lambinguni wakashangilia kwa kelele za ushindi wakisema, ufalme wadunia, umekwisha kuwa Ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake.
    • 568. Mamlaka ya mtu wa Mungu Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote ya kukanyaga nge (nguvu yamaumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) na nguvu zote za yule adui(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
    • 569. Mamlaka ya mtu wa Mungu Mathayo 16:18-19 Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza kulishinda; na mambo yoyote mtakayoyafunga duniani,yatakuwa yamefungwa mbinguni (katika ulimwengu wa roho).
    • 570. Mamlaka ya mtu wa Mungu Mathayo 16:18-19 … na mambo yoyotemtakayoyafungua duniani,yatakuwa yamefunguliwambinguni (yaani yatakuwayamefunguliwa pia katika ulimwengu wa roho).
    • 571. Mamlaka ya mtu wa Mungu Ufunuo 5:8-10Watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme naMakuhani; nao wamepewa kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).
    • 572. Mamlaka ya mtu wa Mungu Yeremia 1:9-10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ilikuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.
    • 573. Mamlaka ya mtu wa Mungu Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunjafalme na nitavunja-vunja mamlaka. (kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa) (Yeremia 1:9-10)
    • 574. Mamlaka ya mtu wa Mungu Ufunuo 5:8-10Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wanafanyika Wafalme naMakuhani; nao wanapewa kumiliki na kutawala juu ya nchi.
    • 575. Mamlaka ya mtu wa Mungu Ufunuo 5:8-10 Mtu anapotubu dhambi zake na kupokea wokovu wa Bwana wetu Yesu Kristo, basi anarudishiwamamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki nakutawala dunia (mazingira yake na maisha yake kwa ujumla).
    • 576. Mamlaka ya mtu wa Mungu Waefeso 2:6/1:18-23 Mtu wa Mungu anapokwendakatika ulimwengu wa roho, akitaka kuwa mshindi na mwenye mafanikio, basi ni lazima na ni muhimu ajue mamlaka aliyonayo katika ulimwengu wa roho.
    • 577. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kwanini tunaishi maisha magumuna ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sanakutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
    • 578. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(1) Hatujajua siri ya ulimwengu waroho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadilikotunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
    • 579. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua nakutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
    • 580. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWaefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu, (3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~
    • 581. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
    • 582. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
    • 583. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
    • 584. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni
    • 585. NAMNA YA KUOMBA 4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika Ulimwengu wa roho
    • 586. VITA VYA ROHONI Mathayo 16:18“Kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.” Ufunuo 12:7-12, 17
    • 587. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:7-12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni,Malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na malaika zake …”
    • 588. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, walamahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.
    • 589. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:7-12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.
    • 590. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:7-12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu yamwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao, ambaohawakupenda maisha yao hata kufa”.
    • 591. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:7-12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyiwote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwamaana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua ana wakati mchache!
    • 592. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:17 17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaendaafanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu nakuwa na ushuhuda wa Yesu …”
    • 593. VITA VYA ROHONI Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), namilango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
    • 594. VITA VYA ROHONI Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango yakuzimu (nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.” Ufunuo 12:17
    • 595. VITA VYA ROHONI 2Wakorintho 10:3-5 “Ingawa tunaenenda katikamwili, hatufanyi vita kwa jinsi yamwili. Bali silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho).”
    • 596. VITA VYA ROHONI Waefeso 6:12 “Kushindana kwetu (vita) si juuya damu na nyama (mwili) bali nijuu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”
    • 597. VITA VYA ROHONI Waefeso 6:12 “Vaeni silaha zote na Twaenisilaha zote za Mungu ili muweze kushindana na falme za giza,mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”
    • 598. VITA VYA ROHONI Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango yakuzimu (nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.” Ufunuo 12:17
    • 599. NAMNA YA KUOMBA 4. VITA VYA ROHONI Rejea habari yaMaombi ya Nabii Eliyah 1Wafalme 18:41-45
    • 600. VITA VYA KIROHO 1Wafalme 18:41‘Katika ulimwengu wa roho, Mungu alikuwa ameshatelemsha baraka walizokuwa wanahitaji katika ulimwengu wa mwili; lakini kulikuwa na kizuizi kilichokuwa kinaishikilia baraka yao (kinaizuia) katika ulimwengu wa roho’.
    • 601. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi
    • 602. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
    • 603. VITA VYA KIROHO Kwahiyo,Kwa njia ya Maombi, yaani kwendakatika ulimwengu wa roho, mtu wa Mungu ataweza kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko duniani, katika ulimwengu wa mwilini.
    • 604. VITA VYA KIROHO Kwahiyo, Kwa njia ya Maombi, Eliya aliwezakwenda katika ulimwengu wa roho, na kupambana na nguvu za gizazilizokuwa zinazuia baraka ya Israeli (rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu wasifurahie maisha katika ulimwengu wa mwili.
    • 605. VITA VYA KIROHO Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha yashida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
    • 606. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 607. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWaefeso 6:10-13, 2Wakorontho 10:3-5 Na sisi pia tusipopambana na nguvu za giza, baraka hizi zotetulizopewa katika ulimwengu waroho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha ya shida na taabu.
    • 608. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kwanini tunaishi maisha magumuna ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sanakutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
    • 609. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(1) Hatujajua siri ya ulimwengu waroho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadilikotunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
    • 610. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua nakutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
    • 611. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWaefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Ni kwasababu; watu wa Mungu, (3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~
    • 612. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Ni kwasababu; watu wa Mungu,(4) Hatujui namna ya kupigana na kushindana na nguvu za giza, katika Ulimwengu wa roho. ~ Kutojua ~
    • 613. NGUVU YA MAOMBIKwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndiounaotawala ulimwengu wa mwili;Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 614. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 615. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 616. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 617. NAMNA YA KUOMBA4. VITA VYA ROHONI Rejea habari yaMaombi ya Daniel Daniel 10:1-14, 20
    • 618. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Siku 21 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 619. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Siku 21 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 620. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Vita ya Siku 3 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili mfalme mfalme mfalme Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 621. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Siku 21 Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3 Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili mfalme mfalme mfalme Siku 24 Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 622. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Siku 21 Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3 Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili mfalme mfalme mfalme Siku 24 Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 623. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 624. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 625. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 626. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 627. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 628. Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Fitina 2Nyak 20 Math 12:25 Uyahudi Uajemi Uyunani Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12Ulimwengu wa Mwili Mkuu Mkuu Mkuu Uyahudi Uajemi Uyunani
    • 629. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katikaUlimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 630. NGUVU YA MAOMBIUkombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu waroho, ndipo ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.
    • 631. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambohilo limejitokeza, lakini mbegu yakeilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita (wakati uliopita).
    • 632. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 633. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 634. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 635. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 6:12 Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juuya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepowabaya, katika ulimwengu wa roho.
    • 636. NGUVU YA MAOMBI Waefeso 1:20-21 Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ilituweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
    • 637. NGUVU YA MAOMBINa ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba, ‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)
    • 638. VITA VYA KIROHO Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama huna mamlaka ya kiroho.
    • 639. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita Vyetu
    • 640. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita Vyetu Kwahiyo; Mtu wa mungu anapokwendarohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)
    • 641. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita VyetuHivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea. Waefeso 6:12, 10-11,13
    • 642. NAMNA YA KUOMBA Silaha za Vita Vyetu Aina kuu 2 za silaha1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13) Waefeso 6:12, 10-11,13
    • 643. NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za Ulinzi (Kujilinda) (Waefeso 6:13)
    • 644. NAMNA YA KUOMBA 1. Silaha za kujilinda (mst.11) a) Kofia ya Chuma kichwani (WOKOVU) Kwenda rohoni / vitani wakatihujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)
    • 645. NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11) b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, nikama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)
    • 646. NAMNA YA KUOMBA 1. Silaha za kujilinda (mst.11) c) Mkanda wa Kweli kiunoni (NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)
    • 647. NAMNA YA KUOMBA 1. Silaha za kujilinda (mst.11) d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)
    • 648. NAMNA YA KUOMBA 1. Silaha za kujilinda (mst.11) e) Ngao ya Imani mkononi (UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi. (Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)
    • 649. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kupiga (Kushambulia) (Waefeso 6:13)
    • 650. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13) a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20 Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo Jina kuu zaidi, jina la Baba. Yoh 17:6,11
    • 651. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13) b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17 Neno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe. Yoh 1:1-4
    • 652. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13) c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7 Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu ya Yesu ina Roho wa Yesu. Walawi 17:14
    • 653. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13) d) ROHO WA YESU2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1 Roho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu 1 Wakorintho 2:11-12
    • 654. NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13) e) JESHI LA MALAIKA WA YESUUfunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizoUfunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91
    • 655. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKwahiyo, Mungu akitaka kufanyajambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilomoja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
    • 656. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
    • 657. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambohilo limejitokeza, lakini mbegu yakeilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita (wakati uliopita).
    • 658. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 659. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 6:12 Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juuya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepowabaya, katika ulimwengu wa roho.
    • 660. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 661. NGUVU YA MAOMBI Waefeso 1:20-21 Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ilituweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
    • 662. Mamlaka ya mtu wa Mungu Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote ya kukanyaga nge (nguvu yamaumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) na nguvu zote za yule adui(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
    • 663. Mamlaka ya mtu wa Mungu Mathayo 16:18-19 ‘milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa nililojenga; namambo yoyote mtakayoyafunga aumtakayofungua duniani, yatakuwa yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).
    • 664. Mamlaka ya mtu wa Mungu Yeremia 1:9-10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ilikuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.
    • 665. Mamlaka ya mtu wa Mungu Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunjafalme na nitavunja-vunja mamlaka. (kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa) (Yeremia 1:9-10)
    • 666. Mamlaka ya mtu wa Mungu Ufunuo 5:8-10Watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme naMakuhani; nao wamepewa kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).
    • 667. NGUVU YA MAOMBI Waefeso 1:20-21 Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ilituweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
    • 668. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zitapindua kanuni za kimwili, ili mambo yako ya mwilini,yafanyike na kukamilika, sawa sawa na mapenzi ya Mungu, hata ikibidi, iwe bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 669. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
    • 670. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
    • 671. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
    • 672. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
    • 673. NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni5. Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
    • 674. NAMNA YA KUOMBA5. NGUVU YA MAOMBI Namna unavyowezaKuuathiri Ulimwengu wa Roho
    • 675. NGUVU YA MAOMBIMaombi yana nguvu yaajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu nakuuingiza kazini Mkono wa Mungu Isaya 45:11
    • 676. NGUVU YA MAOMBI Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni
    • 677. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 678. NGUVU YA MAOMBI Mathayo 16:18-19Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni
    • 679. NAMNA YA KUOMBA Daniel 4:17 Vijana 4 waliojua namna ya kuuathiri ulimwengu wa roho,walisabababisha Mfalme wa nchi kuwa kichaa kwa muda.
    • 680. NAMNA YA KUOMBA Daniel 4:17Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi (Waombaji) Isaya 62:7-11
    • 681. NAMNA YA KUOMBA Yakobo 5:17-18Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha.
    • 682. NAMNA YA KUOMBA Yakobo 5:17-18Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni zakiroho kwa njia ya maombi, namvua ikanyesha juu ya nchi, na nchi ikazaa matunda yake.
    • 683. NAMNA YA KUOMBA Kutoka 14:1-43Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.
    • 684. NAMNA YA KUOMBA Kutoka 14:1-43Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.
    • 685. NAMNA YA KUOMBA Matendo 8:26-40Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho waMungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchinyingine bila kutumia usafiri.
    • 686. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 687. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kituambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Mathayo 14:22-33 Kanuni za kimwili hazikumzuiakufanya alicholazimika kufanya.
    • 688. Ulimwengu wa RohoNdio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisana kanuni za kawaida za kimwili. Yohana 2:1-11 Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
    • 689. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Yesu aliwezakumponya aliyekuwa na upofu, bilakumfanyia operation ya macho, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Marko 8:23-25 Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
    • 690. Ulimwengu wa RohoNdio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yohana 11:17-53 Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
    • 691. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bilakupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43 Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
    • 692. Ulimwengu wa RohoNdio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni, (bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 1:6-11 Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
    • 693. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 694. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze kuutawala ulimwengu, palekanuni za kimwili zinapotuzuia au zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).
    • 695. Ulimwengu wa Roho ‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo,(miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba kuwaletea, Roho yule yulealiyeniwezesha mimi kufanya haya. Yohana 14:12/16:7-8
    • 696. Ulimwengu wa RohoKwahiyo, si Yesu peke yake, hatabinadamu wengine wa kawaida,waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio duniani, bila kuzuilika. Yohana 14:12/16:7-8
    • 697. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2wakapita katika nchi kavu, katikati yaghorofa mbili za maji kitu ambacho nikinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Kutoka 14:1-31 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 698. Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Kutoka 17:1-7 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 699. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Joshua aliwezakusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Joshua 10:12-15 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 700. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japokulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 701. Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza kurudishamvua juu ya nchi, japo hakukuwa na kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 702. Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponyakilema katika mlango wa hekalu, bilaoperation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 3:1-16 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 703. Ulimwengu wa Roho Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 8:26-40 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
    • 704. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 705. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi yakuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia. Waefeso 6:12
    • 706. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 6:12 Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juuya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepowabaya, katika ulimwengu wa roho.
    • 707. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye piaalimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini. Waefeso 1:18-21
    • 708. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, naktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini. Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6
    • 709. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza, kishaukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo, mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala ulimwengu wa mwili.
    • 710. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho ndiounaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
    • 711. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho kwanza. Mambo yakikamilikarohoni, ndipo huyazaa mambo hayo katika ulimwengu wa mwili.
    • 712. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katikaulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.
    • 713. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoWewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia yamaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
    • 714. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:20-21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua na sisi kutoka katika mauti(dhambi), na akatuketisha mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho.
    • 715. NGUVU YA MAOMBI Waefeso 1:20-21 Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ilituweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
    • 716. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa rohoKupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physicalcreation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.
    • 717. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI Namna ya KuuathiriUlimwengu wa roho kwa njia ya maombi.
    • 718. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike Mathayo 16:18-19 Yakobo 5:16-18
    • 719. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke Mathayo 16:18-19 Yakobo 5:16-18
    • 720. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’ (Kuanzia leo Ufe kabisa)
    • 721. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’ Ezekieli 37:1-14
    • 722. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 5. Kuhamisha Nyakati/Matukio Marko 13:14-19‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’ Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5
    • 723. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)
    • 724. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)
    • 725. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)
    • 726. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI 7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja 1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakinimjue kwamba nipo nanyi kiroho Wafalme 5:14-27
    • 727. NAMNA YA KUOMBA NGUVU YA MAOMBI Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu, duniani.
    • 728. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Jenga Kiu, Bidii na Nidhamu ya kimaombi
    • 729. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu Kwa Mfano wa Musa Kut 24:1-18 Kut 34:29-35
    • 730. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu Kwa Mfano wa Joshua Kut 24:1-18/32:9-19 Kut 33:7-11
    • 731. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo wa Mungu Kutoka 24:1-18/32:9-19Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.
    • 732. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo wa Mungu Kutoka 33:7-11 Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa Mungu hata kwa muda wa ziada .
    • 733. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo wa Mungu Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa. (Inakupa kibali mbele za Mungu)
    • 734. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Joshua 3:7 7 Ndipo BWANA akamwambiaYoshua, “Leo nitaanza kukutukuzamachoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)
    • 735. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na MunguKwa Mfano wa Mfalme Daudi Zab 63:1-3 Zab 27:4
    • 736. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo wa Mungu Na ndio maana, bidii yake na nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.(Inampa kibali mbele za Mungu)
    • 737. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu Kwa Mfano wa Bwana Yesu Math 14:22-23 Luka 6:12,17-19
    • 738. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafutamtu aliyekamilika moyo, ili Mungu ajionyeshe kwamba yeye nimwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
    • 739. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Jenga Kiu na Bidii na NidhamuWengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu. Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda mrefu. Luka 22:40-46
    • 740. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Jenga Kiu na Bidii na NidhamuBwana Yesu alipochoka kuomba,Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi tumwombe Mungu atupe nguvumpya, ili tuweze kuomba kwa muda mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46
    • 741. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
    • 742. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 3:20 Atukuzwe Mungu, awezaye kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo autuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.
    • 743. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulanilifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
    • 744. NGUVU YA MAOMBI Waefeso 1:20-21 Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ilituweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
    • 745. Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU
    • 746. 2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,nguvu zake za) uungu umetupatiamambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.
    • 747. 2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa mbaya.
    • 748. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
    • 749. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
    • 750. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 33 Wayahudi wakamjibu,“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
    • 751. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu limewajia …
    • 752. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 36 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’
    • 753. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu mdogo duniani). (Zaburi 82:6)
    • 754. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.

No comments:

Post a Comment

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.