Vichwa vya Habari

HEARING FROM GOD. ( in swahili language) SIKIA SAUTI YA MUNGU)

THE QUESTION IS NOT "DOES GOD SPEAK?" THE QUESTION IS "ARE YOU LISTENING?".

SWALI SI KWAMBA MUNGU HUSEMA NASI LAKINI SWALI NI KWAMBA JE UNASIKIA. Maana Mungu husema nasi kila siku lakini ni jinsi gani tunaweza kutega masikio yetu na kuisikia sauti yake inayotuonyesha njia iliyo salama na yenye mafanikio.Lakini masikio yamezibwa na gundi ya mwovu shetani ambayo hulirutubisha gundi hilo kila siku kwa njia mbalimbali.Tufungue masikio maana shetani hana mamlaka katika ufalme wa Mungu nawe ni mtoto wa Mfalme.

No comments:

Post a Comment

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.