Vichwa vya Habari

TENDA WEMA KWA AJILI YA MUNGU NA SI KWAAJILI YA MWANADAMU

Mathayo 6,1
Ukifanya wema usitegemee malipo kwa mwanadamu bali tegemea malipo kwa baba aliye mbinguni. Imeandikwa Mathayo 6,1Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.