Vichwa vya Habari

TUMAINI JIPYA KWA YESU BWANA


Katika dhiki twaweza kuwa na amani tukiweka fikara zetu katika Yesu. Imeamdikwa, Isaya 26:3-4 "Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.
4 Mtumainini Bwana siku zote Maana Bwana YEHOVA ni

mwamba wa milele.

No comments:

Post a Comment

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.