Vichwa vya Habari

KUJINASUA MIKONONI MWA WATESI WAKO

Zaburi 70:1-5
 Ee Mungu, uniokoe, Ee Bwana, unisaidie hima. 
2 Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu. 
3 Warudi nyuma, na iwe aibu yao, Wanaosema, Ewe! Ewe! 
4 Washangilie, wakufurahie, Wote wakutafutao. Waupendao wokovu wako Waseme daima, Atukuzwe Mungu. 
5 Nami ni maskini na mhitaji, Ee Mungu, unijilie kwa haraka. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Bwana, usikawie.

No comments:

Post a Comment

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.