Vichwa vya Habari

MAJINA NA TAFRI YAKE. KUNA NGUVU YA AJABU NDANI YA MAJINA HAYA


1. ELOHIM
Mwanzo 1:1, Zaburi 19:1 
Maana yake “Mungu” inarejea nguvu za Mungu na utukufu. 


2. ADONAI
Malaki 1:6
Maana yake “Bwana” inarejea ukuu wa Mungu. 


3. JEHOVAH--YAHWEH.....Mwanzo 2:4
Ina rejea wokovu mtakatifu wa Mungu.


4. JEHOVAH-MACCADDESHEM
Kutoka 31:13
Maana yake "Bwana wa kutakasa " 


5. JEHOVAH-ROHI
Zaburi 23:1
Maana yake “bwana ndiye mchungaji wangu”


6. JEHOVAH-SHAMMAH
Ezekieli 48:35
Maana yake "Mungu aliye yupo" 


7. JEHOVAH-RAPHA
Kutoka15:26
Maana yake "Bwana mponyaji wetu" 


8. JEHOVAH-TSIDKENU
Jeremia 23:6
Maana yake "Bwana wa haki" 


9. JEHOVAH-JIREH
Mwanzo 22:13-14
Maana yake "Bwana atatupa" 


10. JEHOVAH-NISSI
Kutoka 17:15
Maana yake "Bwana ni ishara yetu"

No comments:

Post a Comment

NENO NI UZIMA Designed by 5gear Copyright © 2014-2015

Theme images by Jason Morrow. Powered by Blogger.